dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Naziona vitu vipya kabsaa mtaani na mimi nina shida kweli ya usafiri ningepata hiyo pikipiki hakika itanisadia kwenye mambo yangu mengi sana.
Ama hakika mama anafanya Kazi kubwa sana kuliongoza taifa na kutungaanisha wananchi, maendeleo yanaoneka, kila kijiji umeme na maji ya Bomba zinapatikana, zahanati zinajengwa kwa kila kijiji na pia ameboresha miundombinu yote sasa inapitika, Nani kama mama ?!mitaani Tena kwa Samia
Lucas Mwashamba naomba unaisadie nipate usafiri huu kwa gharama yoyote hata kwa kuchangia fomu ya Rais
0756786767
Ama hakika mama anafanya Kazi kubwa sana kuliongoza taifa na kutungaanisha wananchi, maendeleo yanaoneka, kila kijiji umeme na maji ya Bomba zinapatikana, zahanati zinajengwa kwa kila kijiji na pia ameboresha miundombinu yote sasa inapitika, Nani kama mama ?!mitaani Tena kwa Samia
Lucas Mwashamba naomba unaisadie nipate usafiri huu kwa gharama yoyote hata kwa kuchangia fomu ya Rais
0756786767