dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mm nataka pikipiki tu helkoptar huko sijui kuendeshaNasikia helicopter ziko njiani pia, mimi nasubiria hizo ndipo nitume maombi.
Niko jirani kabsa na ofc za CCM makoo makuu wacha nikanunua shatiAnza kupiga mapambie, pia usikae mbali na ofisi zao uwe unatumwa tumwa kutoa kopi
bahati mbaya Lucas Mwashambwa amekosa hata helmet ⛑️Naziona vitu vipya kabsaa mtaani na mm Nina shida Kweli ya usafiri ningepata hyo pikipiki hakika itanisadiaa kwenye mambo yangu mengi snaa.
Ama hakika mam anafanya Kaz kubwa sna kuliongoza taifa na kutungaanisha wananchi ,maendeleo yanaoneka ,kila kijiji umema na maji ya Bomba zinapatikana ,zahani zinajengwa kwa kila kijin na pia ameboresha miundo mbinu zote Sasa zinapitika a,Nani kama mama ?!mitan Tena kwa samiaa
Lucas mwashamba naomba unaisadie nipate usafiri huu kwa ghrama yoyote hat kwa kuchangia fomu ya rais
Abduli Ni mtu wa maan kbsaaNikupe namba za Abduli?
Ooh asnte wacha nikawekaaUmesahau kuweka namba yako ya simu.
Tena mban anachangishwa fomu ya uraisBahati iliyo mbya urais wake ni mwisho 2025.
Wewe ukipewa pikipiki ukichangia buku ya fomu kuna ubaya gani?Tena mban anachangishwa fomu ya urais
Mwenzako anataka za bure sio ya kununuaView attachment 3013680
BOXER BM 150
USAJILI: CFW
BEI 670,000
SIMU 0748107044View attachment 3013680
Haya sasaMwenzako anataka za bure sio ya kununua
Mbna Bei chree rfk au ya wiziView attachment 3013680
BOXER BM 150
USAJILI: CFW
BEI 670,000
SIMU 0748107044View attachment 3013680
Ajae atagawa magariBora mama angawa Boda Boda na sio t shirt na kofia kama waliopita