Natafuta pikipiki ya Samia 2025 nianzie wapi

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Naziona vitu vipya kabsaa mtaani na mimi nina shida kweli ya usafiri ningepata hiyo pikipiki hakika itanisadia kwenye mambo yangu mengi sana.

Ama hakika mama anafanya Kazi kubwa sana kuliongoza taifa na kutungaanisha wananchi, maendeleo yanaoneka, kila kijiji umeme na maji ya Bomba zinapatikana, zahanati zinajengwa kwa kila kijiji na pia ameboresha miundombinu yote sasa inapitika, Nani kama mama ?!mitaani Tena kwa Samia

Lucas Mwashamba naomba unaisadie nipate usafiri huu kwa gharama yoyote hata kwa kuchangia fomu ya Rais

0756786767
 
bahati mbaya Lucas Mwashambwa amekosa hata helmet ⛑️
 


BOXER BM 150
USAJILI: CFW
BEI 670,000
SIMU 0748107044
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…