sasa wanaonunua ni akina nani kama sio watz. anyway nishapta mbweni JKT milion 25. asanteMilioni ishirini na maeneo unayoyazungumza tena yawe na hati, mbona ndogo hiyo mama/baba
Tanzania sasa imebadilika, Kuitafuta hiyo 20m, mpaka jasho la damu litakutoka lakini matumizi yake duhh
Hebu cheki na huyu bwana KITOMAI, 0755312233, YEYE ANASHUGHULIKA SANA NA HAYO MAMBO NA ANA VIWANJA VYA HUKO UNAKOKUULIZIA
WANA JF NATAFUTA PLOT YA KUNUNUA(KUJANGA KAJUMBA) IWE MAENEO YA MBWENI, BOKO, UPANDE WA BAHARINI BUT HATA LAKINI KUSIWE KABISA NA BAHARINI YAANI PAWE TU NA VIEW YA BAHARI HATA KAMA NIKIWEKA HAPO KAGOROFA NIWE NA KAVIEW KIDOGO. KIWE NA TITLE DEED! 1500 HADI 1900 Sq meter. uwezo wangu ni milion 20 tu. asanteni sana
achana na huko njoo kibada pembezoni mwa jiji la kigamboni
no thanks to kigamboniMkuu hilo jiji linaanza kujengwa lini?
mili 20 wewe unayo?Milioni ishirini na maeneo unayoyazungumza tena yawe na hati, mbona ndogo hiyo mama/baba
Tanzania sasa imebadilika, Kuitafuta hiyo 20m, mpaka jasho la damu litakutoka lakini matumizi yake duhh
Hebu cheki na huyu bwana KITOMAI, 0755312233, YEYE ANASHUGHULIKA SANA NA HAYO MAMBO NA ANA VIWANJA VYA HUKO UNAKOKUULIZIA