Natafuta POS ya kununua ya NMB na CRDB bank

Joachimb

Member
Joined
Jul 23, 2017
Posts
75
Reaction score
83
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
 
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
Ukiipata hiyo POSI tafadhali ni-tag maana ndiyo mara ya kwanza nasikia.
 
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
Tahadhari:

Usinunue mashine kwa Wakala, fika benki jaza fomu uombe kumiliki ya kwako.

Mashine utakayo nunua inasoma jina la mmiliki hivyo bado benki inamtambua ataweza kutoa pesa kwenye hiyo akaunti bila kukupa taarifa.
 
Watu wanaogopa kukamuliwa bila shaka. Maana kuna baadhi ya benki usipokuwa na milioni 1, huwezi kuipata hiyo mashine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…