Ukiipata hiyo POSI tafadhali ni-tag maana ndiyo mara ya kwanza nasikia.Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
OkUkiipata hiyo POSI tafadhali ni-tag maana ndiyo mara ya kwanza nasikia.
POS=Point of Sales terminal.Siyo POSI.Ukiipata hiyo POSI tafadhali ni-tag maana ndiyo mara ya kwanza nasikia.
Sawa tajiri,niuzie basPOS=Point of Sales terminal.Siyo POSI.
Sina ya ziada boss wangu.Sawa tajiri,niuzie bas
Tahadhari:Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara