Natafuta pump ya kumwagilia shamba at least 20hp

Natafuta pump ya kumwagilia shamba at least 20hp

SUMLEY

Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
90
Reaction score
121
Ndugu wana jf natafuta pump kwa ajili ya umwagiliaji. Iwe na uwezo wa kusukuma maji zaidi ya mita 700 kutoka mtoni, mwinuko wa shamba sio mkubwa sana ni mwinuko wa kawaida. Kwa mwenye nayo aniinbox private msg
 
Kama upo dar nenda dayliff,opposite kamata.wana pump nzuri.lakini muhimu kukadiria huo mwinuko,inaitwa head kwenye pump na ni parameter muhimu
 
Back
Top Bottom