Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana jamii Mimi ni Mtanzania naishida Kanda ya ziwa, natafuta rafiki wa kike mzuri mtaratibu na pia mwenye hofu ya Mungu. Lengo kubwa kama ikimpendeza Mungu baadae aje kuwa mama wa watoto wangu. Tafadhali awe na umri chini ya miaka thelathini
Hivi sikuizi nasisi tumeanza kutafuta wake!!
Wanawake walivyo wengi mitaani humo yani umekosa kabisaaa hadi unaamua kujakutafuta jukwaani?!!!
Mkuu utakua haupo serious, au unataka mtelezo wa kitonga isijekua mdomo mzito
Mkuu kutongoza ' Kipaji ' na Jamaa anaonekana kabisa kuwa ni ' domoless ' katika Utongozaji na ndiyo maana anataka kuteleza na ganda la Ndizi kwa ' Mademu ' wa humu Mtandaoni ili aweze kuusuuza vizuri ' Mkuyenge ' wake.
Habari wana jamii Mimi ni Mtanzania naishida Kanda ya ziwa, natafuta rafiki wa kike mzuri mtaratibu na pia mwenye hofu ya Mungu. Lengo kubwa kama ikimpendeza Mungu baadae aje kuwa mama wa watoto wangu. Tafadhali awe na umri chini ya miaka thelathini
We mwenyewe wa huko tabia zenu mojaUmetahiriwa? Manake huko Kanda ya Ziwa mna historia ya peke yenu baadhi ya Mikoa sasa hatutaki utupe shida kwa Dada zetu kila siku wawe wanafanya tu Kazi ya kulikunjua na kulikunja ' Lisweta ' lako la asili.
We mwenyewe wa huko tabia zenu moja
Ushapewa buku saba yko naona Leo upo zam
Sawa mteteaKama ulivyo Wewe uliyepewa buku Tatu Unusu yako na sasa upo zamu.