Thanks broMkuu nakushauri usiogope kabisa,hiko unachokijua nakushauri we nenda,ukiwa huko huko utajifunza na kujua zaidi...
Asante mkuuNenda hivyo hivyo
Kama unajua kuongea maneno yatajipanga vzur mbele ya safar
English ni practice tu,
Best wishes kwa makaburu
Haaah mkuu, hiyo ni bahati yanguKama vipi huo mwaliko nipe mimi English niko good kama mwingereza
Mbna no last seen September mkuu [emoji3][emoji16][emoji23]0752601418
Sijakuelewa mkuuMbna no last seen September mkuu [emoji3][emoji16][emoji23]
Last seen kweny WhatsApp yako inasema ni September......Sijakuelewa mkuu
Mi pia naomba uni addTupia no nina groups nyingi za english nikuadd