Natafuta rafiki bora kabisa wa kike baada ya mtu nlomthamini kuamua tuachane bila sababu

Natafuta rafiki bora kabisa wa kike baada ya mtu nlomthamini kuamua tuachane bila sababu

kido madini

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
223
Reaction score
144
jamani wana jamii, mimi ni kijana wa miaka 21,ni mwanafunzi wa diploma ya sheria ,nlikua na rafiki angu wa kike nlompenda kwa dhati kabisa lakini ikatokea bila sababu judy akaamua tuachane na hivi sasa imepita miezi minne tangu tuachane,nlikua nukimvumilia labda anweza kubadilika na kurudi nyuma kwani ni mahusiano yetu ni tangu 2009 mpaka mezi wa sita mwaka huu,hivyo nahitaji mtu mpya nkae fahamiana nae kwanza kwanza,mie nipo dar es salaam maeneo ya airport
 
Haukumpenda Dada Wa Watu,Mwanaume Hakubali Kirahisi Kuachwa Namna Hiyo!
Alafu Eti Unaachwa Bila Kujua Sababu!??
OK!!Je,Umefanya Juhudi Zozote Kwa Miezi Hyo Kuonesha Ujali Wa Kurudisha Penzi(Kubembeleza)?

Ni Vema Kwa Mda Huu Ukajitathmini Mapungufu Yako Kwanza,Kwani Unaweza Ukampata Mwingine Naye Akatoka Nduki Vilevile!
 
Hakuna jambo linalotokea bila sababu mdogo wangu....! Lazima kuna sababu ya yeye kukubwaga, fatilia uijue inaweza kukusaidia ukajirekebisha kwenye hayo mahusiano yako mapya unayotaka kuyaanzisha..! Kila la heri..!
 
sasa miaka 21 unahaha nini?

Hata maisha bado hujayaanza, mbona eapoti kuna watoto wengi wazuri tu.

Sasa mie nikikutaka utafanyaje?? Nina miaka 51.
 
wewe nakuhakikishia utadisco usipo angalia wengine wakiachw hufurahia wewe unalia lia
Join Date : 13th October 2012
yaani kilichokuleta huku ni mchumba tuu!!!!!!!!!!!!!!!!aibu
 
Back
Top Bottom