Luali
Senior Member
- Jan 1, 2013
- 101
- 11
Habari yako msomaji,
Mimi naishi nje ya nchi, na natafuta mchumba mwenye heshima zake, na mwenye kujielewa,msikivu,muelewa, mwenye elimu na anayependa watoto, anayeweza kujali familia bila makundi wala shinikizo lolote la nje ya mahusiano yetu. Awe mwanafunzi wa chuo, ama mfanyakazi, au mfanyabishara itakuwa vyema zaidi. Mimi ni mwanaume wa miaka 33 takriban
Mimi naishi nje ya nchi, na natafuta mchumba mwenye heshima zake, na mwenye kujielewa,msikivu,muelewa, mwenye elimu na anayependa watoto, anayeweza kujali familia bila makundi wala shinikizo lolote la nje ya mahusiano yetu. Awe mwanafunzi wa chuo, ama mfanyakazi, au mfanyabishara itakuwa vyema zaidi. Mimi ni mwanaume wa miaka 33 takriban