Natafuta rafiki jinsia ya kike, lolote la weza tokea!

umri ata mbuzi anao. weka cv zako watu wajue ni nani na unafanya nini. unapatikana wap
Nipo Moshi, na nimechelewa kusoma,nasubiri kwenda chuo kikuu, nafikiri inatosha nani kweli tupu! Nakama upole ni ukilema bac ninao. Kuhusu lolote la weza tokea ni hivi,tukielewana tunaweza kuhusiana sifikiri kumuumiza yeyote kwa vyovyote,pia naelewa haraka isivyo tarajiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…