natafuta rafiki, mchumba, hatimaye mke Mungu akipenda

natafuta rafiki, mchumba, hatimaye mke Mungu akipenda

kichekesho

Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
14
Reaction score
0
mimi ni mwanaume naishi ughaibuni natafuta msichana atakayekuwa rafiki, mchumba na ikiwezekana ndoa Mungu akipenda. nimejiunga Jamii forums specifically kwa ajili ya swala hili maana nadhani labda Mungu anaweza kunijalia nami nikampata rafiki hatimaye mwenza humu.

SIFA:
1. awe mtanzania maana huku nakoishi watanzania wachache sana, nahitaji mtanzania mwenzangu.
2. asiwe anajichubua
3. awe mcha Mungu
4. swala la kazi si muhimu sana kwangu cha msingi awe na elimu walau ya chuo.
tabia nitamsoma kadiri tutakavyokuwa tunawasiliana na kuonana nitakapokuja TZ.
5. awe tayari kutuma picha kwa baadae pale mahusiano yetu yatakapoanza kuwa na direction. nami nitamtumia ya kwangu
6. awe tayari kufanya checkup punde tutakapoelewana
7. awe serious, sio mambo ya utani

kwa maelezo zaidi tuwasiliane

MUHIMU: hatua ya kwanza itakuwa ni urafiki, uchumba na ndoa vitakuja baadae kama tukielewana tabia na mienendo. siwezi kupromise ndoa saivi
 
Niko hapa. Lakini vumbi la bongo nimeshalizoea kuliacha kama vile sitaweza!
 
tukipatana vizuri yes coz long distance love ni ngumu

u know what distance love inakuwa ngumu zaidi pale ambapo hamjitambui kwamba mnaingia katika relation lakin Mtu hayuko ready bt mkiwa committed nothing is impossible dats what i believe eeh
 
Last edited by a moderator:
Huh,kwa mara ya kwanza naona thread ya dizain hii ikiwa serious...kila la heri.
 
u know what distance love inakuwa ngumu zaidi pale ambapo hamjitambui kwamba mnaingia katika relation lakin Mtu hayuko ready bt mkiwa committed nothing is impossible dats what i believe eeh

yah... it can work but it should not take too long, 1 or 2 years its ok, but five years no no. I don't believe in that
 
yah... it can work but it should not take too long, 1 or 2 years its ok, but five years no no. I don't believe in that

hakuna nid ya relationship kuwa na muda mrefu kihivyo coz cyo detrmination ya kuwa na ndoa ya furaha bt u kno wat kichekesho mnaweza kudumu kwa 1yr mkawa n ndoa nzur as long as @ mtu aliish maish yake halisi(hakuigiza)ktk kipind cha uchumba
 
hakuna nid ya relationship kuwa na muda mrefu kihivyo coz cyo detrmination ya kuwa na ndoa ya furaha bt u kno wat kichekesho mnaweza kudumu kwa 1yr mkawa n ndoa nzur as long as @ mtu aliish maish yake halisi(hakuigiza)ktk kipind cha uchumba

nilikuwa nazungumzia long distance relationship kwamba haitakiwi kuwa ya muda mrefu
 
Back
Top Bottom