Natafuta rafiki mwenye stress, tupige story

Natafuta rafiki mwenye stress, tupige story

jaqfantasy212

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
542
Reaction score
257
kuna wakati binadamu anakutana na msongo wa mawazo na asijue wa kumweleza nani, hata kujihisi kama anaishi peke yake kwenye ulimwengu huu, situation ya namna hii ni mbaya.. kwa kulitambua hili napenda kuwasiliana na yeyote aliye katika kipindi hiki, tupige story atleast apate nafuu fulani hivi...mwenye tatizo la namna hii niinbox tuwasiliane..
 
Nilizani una stress unatafuta mwenye stress ili mpige stori ku buy time, ili kuzipunguza.

Kumbe wewe ni stress therapist
 
Waty washazoea kuwasoma waomba msaada na si watoa msaada kwa ili wengi wataingia mitini
 
i am having a family of a daughter and a small boy,but the so called my wife is big threat in terms of jearous,and it is beyond normal line.what do i do.

by the way my family daughter is taking kinder gaten.
 
i am having a family of a daughter and a small boy,but the so called my wife is big threat in terms of jearous,and it is beyond normal line.what do i do.

by the way my family daughter is taking kinder
Lugha ya Malkia ni ngumu sana.
 
Stress nizitoe wapi na JF ipo, kusoma tu hili bandiko stress zishatoka!
 
i am having a family of a daughter and a small boy,but the so called my wife is big threat in terms of jearous,and it is beyond normal line.what do i do.

by the way my family daughter is taking kinder gaten.

Dah mkuu kweli we una Stress! Embu andika kibantu basi....
 
i am having a family of a daughter and a small boy,but the so called my wife is big threat in terms of jearous,and it is beyond normal line.what do i do.

by the way my family daughter is taking kinder gaten.

sasa hizi Lugha ndo tunaziita African Stress asilia!!!ukichanganya na life n family stress..unapata self contained room Mirembe,,yeuwiii eh
 
What a bad idea! Yaani unataka mchanganye stress na kuambukizana siyo? Mchanganyiko huu si mzuri. Ni ushauri tu.
 
Back
Top Bottom