Natafuta rafiki Mzuri wa kike miaka 20 hadi 25

reuse02

Member
Joined
Oct 5, 2017
Posts
15
Reaction score
9
Natafuta rafiki ambaye tutafahamiana na mungu akijalia awe mchumba Kama tutaendana

Awe mkiristo na mwenye hofu ya mungu wa Kabila lolote

Awe mzuri wa roho na mwili yaan rangi ya maji ya kunde au mweupe watapewa kipaumbele

Awe Amesoma angalau awe Ana degree, au diploma, au elimu ya form six

Au Kama hajasoma basi awe na shughuli yake ya biashara ambayo ni yake mwenyewe

Niko serious, Mimi Nina elimu ya degree, Naishi dar na muajiriwa sekta binafsi, njoo pm nikupe wasifu Wang up zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…