Natafuta rafiki na mchumba Kisha mke

Natafuta rafiki na mchumba Kisha mke

supermwamba

Member
Joined
Mar 11, 2024
Posts
37
Reaction score
33
Natafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajiriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia la saba. Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha.

Mimi na miaka 40. Ni mkristo na nimjasiriamali. Napenda sana maendeleo. Karibu . P M.
 
Natafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajilriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia lasaba . Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha.

Mimi na miaka 40. Ni mkristo na nimjasiriamali. Napenda sana maendeleo. Karibu . P M.
Ukiyasikia yaliyotokea Igurusi usiku wa kuamkia leo utarudia getini
 
Nenda kwenye hoja ya msingi, uchumba c mtihani wa 1+1 =2 vile vile inaweza kuwa 1 . Kama we ndio mchumba usiwe na maswali mengi. Ni Pm tuyamalize kabla hujachelewa..
Kwahiyo unaona umri siyo hoja ya msingi?why usiweke umri halisi ili kuepusha maswali mengi, otherwise usingeweka kabisa vingele unavyohisi havina msingi mkuu
 
Back
Top Bottom