supermwamba
Member
- Mar 11, 2024
- 37
- 33
Kwani utu uzima unaanzia wapi na kuishia wapi?Mama mtu mzima halafu yuko under 35 you can't be serious.
Ukiyasikia yaliyotokea Igurusi usiku wa kuamkia leo utarudia getiniNatafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajilriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia lasaba . Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha.
Mimi na miaka 40. Ni mkristo na nimjasiriamali. Napenda sana maendeleo. Karibu . P M.
Wachumba mnakazi, ukiwa mchumba huna kumbukumbu lazima upigwe hahahMkuu una miaka 50 au 40? Juzi umesema uko 50 leo umedrop to 40yrs upi ni umri wako hapo?
Fursa kwa Dada zetu mliozalia home.Awe na mtoto au asiwe naye
Wachumba tunachanganyikiwa sasa hatuelewi umri sahihi ni upiπWachumba mnakazi, ukiwa mchumba huna kumbukumbu lazima upigwe hahah
Hebu nitafute mpnzWachumba tunachanganyikiwa sasa hatuelewi umri sahihi ni upi[emoji3]
Nenda kwenye hoja ya msingi, uchumba c mtihani wa 1+1 =2 vile vile inaweza kuwa 1 . Kama we ndio mchumba usiwe na maswali mengi. Ni Pm tuyamalize kabla hujachelewa..Mkuu una miaka 50 au 40? Juzi umesema uko 50 leo umedrop to 40yrs upi ni umri wako hapo?
Aisee inaogopesha sanaUkiyasikia yaliyotokea Igurusi usiku wa kuamkia leo utarudia getini
Kumekucha πππMkuu una miaka 50 au 40? Juzi umesema uko 50 leo umedrop to 40yrs upi ni umri wako hapo?
Nkamu kimetokea nini Igurusi??Aisee inaogopesha sana
Mume kamchinja mke kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwiliNkamu kimetokea nini Igurusi??
Anatuchanganya sasa πKumekucha πππ
Kwahiyo unaona umri siyo hoja ya msingi?why usiweke umri halisi ili kuepusha maswali mengi, otherwise usingeweka kabisa vingele unavyohisi havina msingi mkuuNenda kwenye hoja ya msingi, uchumba c mtihani wa 1+1 =2 vile vile inaweza kuwa 1 . Kama we ndio mchumba usiwe na maswali mengi. Ni Pm tuyamalize kabla hujachelewa..