Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Hakuna urafiki wa Simba na mbuzi mkuu, ipo siku utaliwa tu.
 
Mh we baba yeyoo jaman si ulinipa talaka mbele ya sakayo na we ukapata mabebez kwenye uzi wenu wa usiku wa manane

Mama yeyoo foleni ilinishinda. Kule sina mtu yeyote. Ni kutoa stress tu na kupata apetait ila hakuna kula.
 
Daaah miaka Mimi imeninyima urafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…