N.b kuweka kumbukumbu sawa.Hivi nilivyojiunga jf hakunikagua kweli? Maana nakumbuk alikuwa miongoni mwa wakaguajii
Huu wa kuomba lazima muende pm kwanza mfanye mahojiano ili kujiridhisha.Urafiki wetu ulikuja automatically, sio kufanyiwa interview pm
Khaaaa
Mwanadada umeongea jambo la msingi sana,kwa ufupi unataka rafiki wa kubadilishana nae taarifa na uzoefu kimsingi hili ni jambo jema na lenye kheri kwa mtizamo wangu unarespond katika moja ya theories za personal development inayosema if a person wants to develop has to do the following Plan,walk out and talk with people nakushukuru sana kwa kuwa muwazi na mjasiri kuonyesha Hisia zako.Waingereza wanasema hivi "IF YOU WANT BE INTERESTED BE INTERESTED once again hongera Mimi Niko tayari
Yeah sure Rafiki wa kweli ni akufaye katika hali na mali ,,, ila nakumbuka kuna siku ulihoji ,uwepo wa urafiki km huo ???? .
Sio kweli ukienda shule ndo unakua mwenye ushauri mzuri bali Rafiki mwenye Busara na Hekima ndo mwamuzi ,mshauri sahihi kwa rafiki.
Bila shaka amna rafiki wa 40 ambaye utamkuta hajaoa ,huyu ni baba wa familia nakm aliwahi kuzaa ujanan binti wakike tayar anamjukuu!!.. ( hapa nimegundua unahitaji pia akupe muda wake pia , naona kabisa unahitaji muda mwingi muongee ,kitu ambacho hakitokaa kitokee nazaidi tegemea tu kupewa ratiba ya maongezi. Nausiku noo maongezi,,,, ninaamin fika unatambua wanawake niwatu wa wivu sana ,, just imagine mumeo ndo anakua narafiki waivo utakua unajisikiaje ??? Hivyo ktk hili ,niwewe pekee wakuhakikisha unajiongoza ili urafiki wako nayeye usije kua chanzo cha magonvi ndani ya familia yake ,UNLESS kakukutanisha na mkewe mmejuana , lkn sio tu simu " mkewe akijua hatoweza kuelewa.
Swali langu ni je,, How did you do that?
Lazima kikojoleo kihamie usoni
Hata wewe (unaweza)unaingia kwenye hilo kundi, maana ndege wanaofanana huruka pamoja
Siyo anaweza. Huyo ni mdangaji hana lolote. Hivi unaweza ukawa na maisha mazuri usiwe na marafiki?
Naona ndo umetokea pm... Pamoja na kukuonya ulienda kwa nguvu!!
Mnanionea bure tu....
Nipo hapa, nzogo mayo!Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Hongera ila Dada unaonekana una tatizo maana haiwezekani kupingana na muumba wako mwanadamu aliyekamilika anapaswa kupitia stage zote ambazo Mungu ametaka upitie hapa duniani wewe unakanusha ndoa kwanini ama kama unapata wanaume wa kutimiza tamaa za nafsi tu sijambo sahihi tazama upiya mtizomo wako katika maishaMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Hongera ila Dada unaonekana una tatizo maana haiwezekani kupingana na muumba wako mwanadamu aliyekamilika anapaswa kupitia stage zote ambazo Mungu ametaka upitie hapa duniani wewe unakanusha ndoa kwanini ama kama unapata wanaume wa kutimiza tamaa za nafsi tu sijambo sahihi tazama upiya mtizomo wako katika maisha
Nimekuelewa una watoto wangapi ?Na kuna vitu kama coll of nature unakabiliana navyo vipi?Kaka yangu napenda uelewe kuwa sio lazima binanadamu wote waoe au kuolewa! Wala sitaki mwanamume wa kutimiza tamaa za mwili. Nahitaji rafiki tu.