Hahaha
Pata sprite hapo bwana shemeji, usinywe mataputapu!
Lazima niumie! Mume wangu anatafuta rafiki wa kike halafu nisiumie mkuu!!Usiumie jamaniiiii...
HahahaHayo natamani tu lakini situmii. Nisije nikakosa rafiki hapa ameshakwambia anataka mtu anaejielewa, sasa wapiga kachasu na msomi wapi na wapi?
HahahaJirani hata mkwanja wa udalali nao ulipite??[emoji15] [emoji15]
SawaUsijali, ntaitakasa kwa mahabat mujarab...
HahahahaaaaaHahaha
Hebu muite Ushmen hapa patamfaa zaidi
Hahaha
Nawe unatafuta rafiki bwana shemeji?! Kila la kheri jamanii
HahahaHahahahaaaaa
Ataishia kubaki mdomo wahi tu
Yupo
Asijentia aibu mie kwa wajukuu zetu!! Huo urafiki wa saizi anautaka wa nini?!
Ishia hapo hapo!! Huo urafiki fanya na mimi, sawa eeeh!!
Ivi giLESI naye si anaqualify hili tangazo!!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha
Mleta uzi ataufunga jamanii!!!