ndohotabu doho
Member
- Mar 12, 2018
- 75
- 86
- Thread starter
-
- #141
Aisee
Yangu macho nakuombea umpate huyo rafiki na ufaulu huo mtihani ambao wengi hawaufaulu
Nisubirie hebu, nikapalizi mahindi yanguMie nimeshabeba jembe naelekea shamba kulima
Kula tunda ni lazima, si mume wangu ama?!Inaonekana urafiki wenu ulishatiwa dosari... au mlishakula tunda mkajikuta mko uchi, mumeharibu maana nzima ya urafiki.
tafakari Adam na Hawa kabla na baada ya kula tunda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ewaaaa... hiyo ni kauli mbiu kuu kwenye huu urafiki mpya.
Wewe ni rafiki, mpenzi na mchepuko wangu wa kudumu. Huyu anataka urafiki kama wa kaka na dada...Wewe huridhiki na urafiki wako na mimi?!
Wewe una miaka 40 wewe!?
Hebu acha Fujo huko piemu
Lazima kikojoleo kihamie usoniNimegundua wanaume wote walioko pm kwangu wana wake zao humu, na wake zao wametoa machoo.... uwiiiii kazi ipo.
Namuomba yeyote anayenifata pm ahakikishe mkewe ni mwelewa.... nasisitiza sitaki kurogwa humu
Hebu muite basiBasi atakuja hawezi kukosa hii fursa
Kwa msisitizo zaidi...
Naweza kukuombea ukampata huyo rafiki ila unaweza kuja kushindwa kufaulu mtihani niliyoukusudia.Ameen. Ila mtihani mkubwaa. Manani nimeshaanza kushambuliwa kabla hata sijampata huyo rafiki. Please maombi yako ni muhimu. Kesha please uniombee leo
Haitokaa itokee kamwe!! Kama umechoka urafiki wetu, mapenzi yetu na uchepukaji wetu we niambie tuu!!!Wewe ni rafiki, mpenzi na mchepuko wangu wa kudumu. Huyu anataka urafiki kama wa kaka na dada...
Naweza kukuombea ukampata huyo rafiki ila unaweza kuja kudhindwa kufaulu mtihani niliyoukusudia.
Hakuna binadamu mkamilifu abadani!! Mark my words.
Haitokaa itokee kamwe!! Kama umechoka urafiki wetu, mapenzi yetu na uchepukaji wetu we niambie tuu!!!