Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
1. Aliyezaliwa kuanzia 1991 hadi 1993.
2. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
3. Anayefikiria kuwa na ujuzi fulani wa share order katika biashara n.k
4. Anayefikiria kujiajiri zaidi kuliko kutegemea kuajiriwa.
5. Mwenye busara, hekima na nidhamu kwa mtu yeyote.
6. Awe na ujasiri na asiwe mwogamwoga.
7. Awe anajiamini kuwa anaweza.
8. Asiwe anapenda starehe sana kama vile kulewa na kwenda klabu.
NB: Kwa kuwa Tanzania tuna rasilimali nyingi, sisi vijana tunao uwezo wa kujiajiri kupitia hizo. Anza kuchangamka kwa kunitafuta kupitia 0754 004189 au 0783 004189 nikueleze nini nimefikiria tufanye na nikakuchagua wewe. Mwisho ni Tarehe 25 February!
2. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
3. Anayefikiria kuwa na ujuzi fulani wa share order katika biashara n.k
4. Anayefikiria kujiajiri zaidi kuliko kutegemea kuajiriwa.
5. Mwenye busara, hekima na nidhamu kwa mtu yeyote.
6. Awe na ujasiri na asiwe mwogamwoga.
7. Awe anajiamini kuwa anaweza.
8. Asiwe anapenda starehe sana kama vile kulewa na kwenda klabu.
NB: Kwa kuwa Tanzania tuna rasilimali nyingi, sisi vijana tunao uwezo wa kujiajiri kupitia hizo. Anza kuchangamka kwa kunitafuta kupitia 0754 004189 au 0783 004189 nikueleze nini nimefikiria tufanye na nikakuchagua wewe. Mwisho ni Tarehe 25 February!