unajihisi uko peke yako kiaje......................
uwe unakuja chit chat u will get alot of friends
Jinsia yako
ila heading ya post ni tata......
Ni ke mkuu.
ila heading ya post ni tata......
Pole km imekupa utata ila namaanisha marafiki jinsia ya me na ke!
We ni jinsia gani? Kama ni Ke, umeolewa? unapenda hata sisi tuliooa? kama vipi twenzetu PM. Kama ni dume mwenzangu, ishia hapahapa.
Hata walioa ni sawa maana ninachohitaji ni urafiki tu na si vingine!
Nimekubali kuwa rafiki yako. twende PM chapchap sana.
Hahahahaha usiniue mbavu zangu mie
Sshiiiii. Utanipeperushia ndege wangu.
Haya nimenyamaza
Haya nimenyamaza
Na unyamaze hivyo hivyo!