Nimemaliza UDSM, nina miaka 26 na ninatokea mkoa wa Singida. Natafuta rafiki ( mchumba ) ambaye ana umri chini ya miaka 30. Elimu yake iwe kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Sina ubaguzi wa dini wala kabila.sifa zako na sifa za rafiki unaemtaka
Jamani aliye tayari ani-PM basi.