Natafuta rafiki wa kike ambaye tutashirikiana katika Kuleta maendeleo

Joined
Sep 25, 2017
Posts
7
Reaction score
4
Hi, natafuta rafiki wa kike umri kuanzia 24-37,sina ubaguzi wa elimu, dini, kabila,msomi hata ambaye simsomi yeyote anakaribishwa.
Awe ni mtu anaye jituma katika kupambana na umasikini Aliye tyr tukutane pm kwa mawasiliano zaid
i
N:B nimatumaini yangu tutafika mbali na kuondokana na umasikini.
 
hahahahahahaha na user name yako hyo kjana mungu anakuona [HASHTAG]#ngoja[/HASHTAG] aje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…