yeka
Member
- Feb 14, 2017
- 47
- 29
Habari wanajamvi,
Mimi kijana wa kiume mwenye miaka 20's.
Nina shahada ya uhandisi wa umeme.
Nimejiajiri katika fani yangu hiyo hiyo.
Natafuta rafiki ambae atakuja kua mke hapo baadae.
Awe mvumilivu, anayejali, flexible kwa situation yeyote, anayemwogopa Mungu.
Aliyekua serious anichek PM.
Mimi kijana wa kiume mwenye miaka 20's.
Nina shahada ya uhandisi wa umeme.
Nimejiajiri katika fani yangu hiyo hiyo.
Natafuta rafiki ambae atakuja kua mke hapo baadae.
Awe mvumilivu, anayejali, flexible kwa situation yeyote, anayemwogopa Mungu.
Aliyekua serious anichek PM.