Natafuta rafiki wa kike baadaye awe mke wangu, ndoa tutafunga mwezi wa kumi na moja mwaka huu akipatikana

Natafuta rafiki wa kike baadaye awe mke wangu, ndoa tutafunga mwezi wa kumi na moja mwaka huu akipatikana

Handsome2020

New Member
Joined
May 24, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Hi,mimi ni mwanaume najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke ambaye nitaishi naye siku zote,mwenye umri wa miaka 23-28,elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea,dini mkristu,kabila lolote,awe amejiajiri/kuajiriwa.Mimi umri wangu ni miaka 33,dini mkristu,kwa taarifa zaidi njoo pm kwa atakaye kuwa na uhitaji,asanteni sana na samahani kwa ambaye nimemkwaza kwanamna moja au nyingine mke anapatikana popote pale Mungu alipokuandikia kumpata.
 
Sasa hivi ni mwezi wa 5/6 huyo utakae mpata ufunge nae ndoa mwezi wa kumi na 11 (baada ya miezi 5) Ndugu yangu Mke sio mbuzi kwamba ukimchoka unaweza kumpika supu.

Kaa utafute mke kama una nia sio kuwahi kuoa Ronaldinho mwenyewe anaoa hivi karibuni wanawake wawili kwa mpigo (Bado Benki ya wanawake ina hazina kubwa sana)
 
Sasa hivi ni mwezi wa 5/6 huyo utakae mpata ufunge nae ndoa mwezi wa kumi na 11 (baada ya miezi 5) Ndugu yangu Mke sio mbuzi kwamba ukimchoka unaweza kumpika supu.

Kaa utafute mke kama una nia sio kuwahi kuoa Ronaldinho mwenyewe anaoa hivi karibuni wanawake wawili kwa mpigo (Bado Benki ya wanawake ina hazina kubwa sana)
Cha kuongezea na yeye anatakiwa kuchangia au kuanzisha thread mbili tatu ili dada zetu waweze kumsoma vizuri.
 
Kutangaza nia nisuala moja wapo, na kutimiza nia ni suala jingine.

Hata ivo usiwe kama wale watangazao nia ili kuwadanganya mademu namwisho mkishawala mnawatafutia sababu za kuwaacha ,na badae mnarudi humu na ID fake mnatangaza tena nia !!! .


Mungu aitawale nia yako km kweli ni ya dhati!!..... Wanakuja.
 
Sasa hivi ni mwezi wa 5/6 huyo utakae mpata ufunge nae ndoa mwezi wa kumi na 11 (baada ya miezi 5) Ndugu yangu Mke sio mbuzi kwamba ukimchoka unaweza kumpika supu.

Kaa utafute mke kama una nia sio kuwahi kuoa Ronaldinho mwenyewe anaoa hivi karibuni wanawake wawili kwa mpigo (Bado Benki ya wanawake ina hazina kubwa sana)
Hahahaha umeninikonga nyoyo broo!

Asiharakishe akaja kujuta!
 
Hi,

Mimi ni mwanaume najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke ambaye nitaishi naye siku zote, mwenye umri wa miaka 23-28, elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea, dini mkristu, kabila lolote, awe amejiajiri/kuajiriwa.

Mimi umri wangu ni miaka 33, dini mkristu,kwa taarifa zaidi njoo PM kwa atakayekuwa na uhitaji.

Asanteni sana na samahani kwa ambaye nimemkwaza kwa namna moja au nyingine mke anapatikana popote pale Mungu alipopanga.
 
Hicho kigezo cha kujiajiri/kuajiriwa kueni makini nacho sana.. Utafutaji mwemaa...
 
Inaonekana uko na haraka sana ya kuoa mkuu jambo kama hili linahitaji muda wa kutosha.
 
Uchumba wa miezi 4 duuuh, hiyo ndoa sidhani kama itadumu hata mwaka
 
Back
Top Bottom