Handsome2020
New Member
- May 24, 2018
- 2
- 0
Cha kuongezea na yeye anatakiwa kuchangia au kuanzisha thread mbili tatu ili dada zetu waweze kumsoma vizuri.Sasa hivi ni mwezi wa 5/6 huyo utakae mpata ufunge nae ndoa mwezi wa kumi na 11 (baada ya miezi 5) Ndugu yangu Mke sio mbuzi kwamba ukimchoka unaweza kumpika supu.
Kaa utafute mke kama una nia sio kuwahi kuoa Ronaldinho mwenyewe anaoa hivi karibuni wanawake wawili kwa mpigo (Bado Benki ya wanawake ina hazina kubwa sana)
Mkuu huwenda ni Gudume kaja na ID mpya.Cha kuongezea na yeye anatakiwa kuchangia au kuanzisha thread mbili tatu ili dada zetu waweze kumsoma vizuri.
Sema ni New member juzi hapa wamesema wanapenda wanaume Wafupi na weusi.
Hahahaha umeninikonga nyoyo broo!Sasa hivi ni mwezi wa 5/6 huyo utakae mpata ufunge nae ndoa mwezi wa kumi na 11 (baada ya miezi 5) Ndugu yangu Mke sio mbuzi kwamba ukimchoka unaweza kumpika supu.
Kaa utafute mke kama una nia sio kuwahi kuoa Ronaldinho mwenyewe anaoa hivi karibuni wanawake wawili kwa mpigo (Bado Benki ya wanawake ina hazina kubwa sana)
hii sio id yako nyngine[emoji23] [emoji23] [emoji23] (nakutania)Kiongozi hongera ni wachache sana wenye nia kama yako. Ngoja waje uenda ukajipatia huku
Sent using Jamii Forums mobile app