Ninahitaji rafiki wa kike aliye mstaarabu umri kati ya miaka 18 hd 25,dini na kabila sio kikwazo ila awe mtu asiyjichubua au kutumia vipodozi hatarishi. mtu ambaye sio tegemezi na anayejituma elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, aliye tayari plz contact jpet25@hotmail.com
huyu siyo msambaa ila amevutiwa na sifa, sifa nyingine
awe mkata kiuno speed 360m/s
awe mjuzi wa kula kungu
awe hodari wa kumbeba mume mgongoni kupeleka bafuni
awe anajua kuutumia kama.............. na kuusafisha
aweanajua mapish mchele kg1 nazi 6, na mpishi mahiri wa supu ya pweza na ngiri, pamoja na papa
awe mjuzi wa kuunga maji ya kuoga ...............................
nyingine ongezea