Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae then tuwe wachumba

Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae then tuwe wachumba

KASWALA

New Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
3
Reaction score
1
Naitwa Ally niko Tabora natafuta rafiki wa kuchat nae then tuwe wachumba ila awe mvulivu shida na njaa, umri kuanzia 18 ~26.

Alietayari namba hiyo 0743850941 kwa eirtel no 0692658141
 
Kaswala umekosea kusema awemvumilivu wa shida na njaa ungesema nitampa nyumba, gari na Kusimamia biashara ungewapata wengi sana lkn hapo umebug hawa viumbe bila kuwadanganya huwapati
 
Kama umepata vihela kidogo ni vyema ukaanzisha hata kabiashara ujiimarishe kiuchumi kuliko kuanzisha uhusiano ambao hauna faida kwako kwa sasa
 
Ally una ATM [emoji763] Card [emoji388] maana hawa viumbe wana udugu na hivi vitu, kuwa nayo tu hata kama imemalizika muda wake.
 
sasa unataka niseme nna nyumba nzur gari la kifahar wakat akija anakuta sina hata kimoja weee kaaa pemben kwanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] post inachekesha aiseee
 
Naitwa Ally niko Tabora natafuta rafiki wa kuchat nae then tuwe wachumba ila awe mvulivu shida na njaa, umri kuanzia 18 ~26.

Alietayari namba hiyo 0743850941 kwa eirtel no 0692658141
eirtel ni mtandao wa wapi??
 
Naitwa Ally niko Tabora natafuta rafiki wa kuchat nae then tuwe wachumba ila awe mvulivu shida na njaa, umri kuanzia 18 ~26.

Alietayari namba hiyo 0743850941 kwa eirtel no 0692658141
Wanawake wamejaa mitaani chungumzima we unatafuta mitandaoni,are you domozege?
 
Back
Top Bottom