Emmanuelyz
Member
- Jul 3, 2017
- 13
- 3
Edward Niko dar umri 28, natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae kwa atakaekuwa tyr anitafute kwa namba hii 0746802325.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anawatafutia watu...sio yeye kama yeye hujamgundua tu..hata za wachumba huwa anapostMaisha haya haya Mkuu na umri wako huo unatafuta wa kuchati naye kweliii ?? Embu kuwa serious na maisha.
Edward Niko dar umri 28, natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae kwa atakaekuwa tyr anitafute kwa namba hii 0746802325.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo jamaa ni kuwadi au?Huyo anawatafutia watu...sio yeye kama yeye hujamgundua tu..hata za wachumba huwa anapost
Huenda mkuuKwa hiyo jamaa ni kuwadi au?
Mkuu kwa kweli naanza kukubaliana na mwanajanvi mwenzetu humu kwenye jukwaa aliposema madomo zege litangazwe kuwa ni janga la kitaifa. Yaani Vijana hawana confidence ya kumkabili demu! !!,kwa kweli hii ni hatari, tuna vijana wengi suruali.Acha ujinga wew sema Ukweli kua unatafuta dem/mke.
Etii oooh rafik wa kike wa kuchat nao, Yaan unatak mue mnachat tuu? kwan mtaani kwako hakuna wanawake?
To make the long story short ni Kua Hakuna Urafiki kati ya Paka au Simba na Panya au Swala. Unatafuta dem wew