Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye umri uwe 18 - 28

Mwenyewe kusema wa kuchati nae mbona mnamsakama?
 
ngoja nikuweke kwenye group la watsapp linasound vile wewe unataka

28yrs kuchat ipo ila sio kwa style hii uliyokuja nayo
 
Mkuu kwa kweli naanza kukubaliana na mwanajanvi mwenzetu humu kwenye jukwaa aliposema madomo zege litangazwe kuwa ni janga la kitaifa. Yaani Vijana hawana confidence ya kumkabili demu! !!,kwa kweli hii ni hatari, tuna vijana wengi suruali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…