Natafuta rafiki wa kike wa kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi

Natafuta rafiki wa kike wa kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi

philosophy

Senior Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
104
Reaction score
42
Mimi ni kijana wa miaka 23,niko peke yangu, na mwanafunzi ninayejielewa, namtafuta mrembo wa kuwa na mimi kama wapenzi. Mdada huyu atakeyeridhika na mimi awe na elimu ya kuanzia kidato cha 4, asiwe wa kutangatanga mara katoka huko ndo anaona kwngu pa kukimbilia, pia sibagui kabila, awe na mawazo ya kujenga na awe mvumilivu wa shida na kalaha; asiwe mfupi urefu wake uwe kuanzia futi 5 hadi 6, na asiwe mnene. atakayekidhi vigezo na kuridhika kuwa na mimi ajibu na kuweka namba yake ya simu mimi nitampigia.
 
We ushafika chuo hebu usitake kuwaharibu akili watoto wa watu...unataka vifaranga wa form 4 - 6 kwa kuwa ndio umeona rahisi kuwapata eenh...
Hebu deal na manyambiz wa chuo huko huko waache wanetu kwanza nao watimize ndoto zao zakufika elimu za juu...
 
Swali haliendani na maelezo;hata hivyo ndoa ni mm na yeye
 
Sitafuti wa baadaye ndo maana nkasema natafuta;yaani mwaka huu
 
sitafuti watoto;natafuta watu zaidi ya miaka 18, kama watoto wamo humu hawastaili na wanakiuka wao ni watoto kwenye mitandao kama hii wanatafuta nn?
 
Unayo kabati ya mbeho? gari je? Na biashara kariakoo unayo?
 
Back
Top Bottom