Habarini za jioni hii wana jamii Forum. Natafuta rafiki wa kike wa kuchat naye, kushauriana mambo ya maisha, pamoja na kubadilishana mawazo, sifa awe anaishi Mwanza, umri chini ya miaka 23. Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26. Kwa yeyote aliye tayar ani PM