kufunga kwaresma ndio kuwa na matendo mema????????????
Sema deadline ni lini ili niwasiliane na ninaowafahamu mkuu. Hujasema umri pia unataka yeyote au vipi? Kiufupi, toa specifications zote hizo ulizotoa naona bado kidogo.
mtu anatoa thread alafu analala mbele!!!
tabia mbaya kama nini!!!!!!!!!!!!
lbd huyu ana 22yrs !!!!!!!!!!!!!
Hahahahahaha! Atakuwa na 18 bana ndo ambao wanakuwaga na swaga km hizi. Amekmbia coz hamaanish alchokiandka!!!
Atakuwa ametimiza kile kigezo cha kumcha mungu.
ha hahaaaaaaa naona alikuta laptop ya baba yake iko on akaamua andike hii thread faster!! hapa anachungulia kila wakati aje kusoma alichojibiwa lkn baba yake yuko bussy!!!
na ukikagua mitihani yake ana samaki wakumwaga.
Remember we do chat when we get chance to but not otherwise,i mean i was bussy and am always bussy Folks,ila nawamba muendelee to kunitumia mail manake i can smell the nice aroma from far far away coming to my way.
Wakuu msaada kwy subject hapo juu!
Natafuta mchumba wa kike,mwenye mvuto,mpole,intelligent but not on capitalization side,down to earth,young and elegant,mkristu pia awe amefunga kwaresma kama mimi.awe msafi wa roho na mwili.
Kama kuna mwenye vigezo hivyo hapo juu awasiane nami kwa mail hii-(realwilly2002@yahoo.com).