Kama kichwa kinavyojieleza.
Wasifu wangu
jinsia: Mwanaume, Umri miaka 32, Elimu: Diploma, Kipato: cha Chini, halali. Ajira: binafsi. Makazi: Njombe, ila safari Iringa, Moro, Dar mara kwa mara. Dini: Mkristo, Mkatoloki mwenyewe hofu ya Mungu.
Mlengwa/mtarajiwa
Umri: 19-25
Asiwe bonge au mwembamba 45-70kgs.
Asiwe mrefu sana, awe < 175cm
Asiwe amezaa, ikitokea si zaidi ya mtoto 2.
Awe tayari kupima vvu na kuona hapo baadae.
Elimu: Kipato cha nne na kuendelea, mwenye uzoefu wa biashara atapewa kipaumbele.
Dini: sichagui, Asiwe mlokole au msabato, muislamu awe tayari kubatizwa na kufuata taratibu nyingine.
Kipato: hata kama hana cha uhakika, naamini tutaelekezana na tutatoka ili mradi awe tayari kujifunza(anafundishika)
Sipendi ma make up (hasa shedo), makucha marefu na mawigi.
Kwa aliyetayari au kunishawishi kuviacha baadhi ya vigezo Karibu PM.
Kipozeo85
Wasifu wangu
jinsia: Mwanaume, Umri miaka 32, Elimu: Diploma, Kipato: cha Chini, halali. Ajira: binafsi. Makazi: Njombe, ila safari Iringa, Moro, Dar mara kwa mara. Dini: Mkristo, Mkatoloki mwenyewe hofu ya Mungu.
Mlengwa/mtarajiwa
Umri: 19-25
Asiwe bonge au mwembamba 45-70kgs.
Asiwe mrefu sana, awe < 175cm
Asiwe amezaa, ikitokea si zaidi ya mtoto 2.
Awe tayari kupima vvu na kuona hapo baadae.
Elimu: Kipato cha nne na kuendelea, mwenye uzoefu wa biashara atapewa kipaumbele.
Dini: sichagui, Asiwe mlokole au msabato, muislamu awe tayari kubatizwa na kufuata taratibu nyingine.
Kipato: hata kama hana cha uhakika, naamini tutaelekezana na tutatoka ili mradi awe tayari kujifunza(anafundishika)
Sipendi ma make up (hasa shedo), makucha marefu na mawigi.
Kwa aliyetayari au kunishawishi kuviacha baadhi ya vigezo Karibu PM.
Kipozeo85