Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,598 Apr 2, 2012 #1 Kama inavyosomeka ndivyo ilivyo. Awe mtu mzima kuanzia miaka 30 hadi 45. Kama vipi nipe majibu kwa private message.
Kama inavyosomeka ndivyo ilivyo. Awe mtu mzima kuanzia miaka 30 hadi 45. Kama vipi nipe majibu kwa private message.
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,357 Reaction score 6,424 Apr 2, 2012 #2 Tutor B said: Kama inavyosomeka ndivyo ilivyo. Awe mtu mzima kuanzia miaka 30 hadi 45. Kama vipi nipe majibu kwa private message. Click to expand... Ikimbie zinaa!!!
Tutor B said: Kama inavyosomeka ndivyo ilivyo. Awe mtu mzima kuanzia miaka 30 hadi 45. Kama vipi nipe majibu kwa private message. Click to expand... Ikimbie zinaa!!!
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,598 Apr 2, 2012 Thread starter #3 CHUAKACHARA said: Ikimbie zinaa!!! Click to expand... Rafiki si lazima nizini naye!
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 Apr 2, 2012 #4 unamtaka wa nini?
Tutor B JF-Expert Member Joined Jun 11, 2011 Posts 9,025 Reaction score 6,598 Apr 2, 2012 Thread starter #5 Smile said: unamtaka wa nini? Click to expand... Rafiki ana faida kubwa! Ni bora kuongeza rafiki kuliko adui, sina nia mbaya na ningekuwa na nia mbaya nisingetangaza wazi.
Smile said: unamtaka wa nini? Click to expand... Rafiki ana faida kubwa! Ni bora kuongeza rafiki kuliko adui, sina nia mbaya na ningekuwa na nia mbaya nisingetangaza wazi.
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 Apr 2, 2012 #6 Tutor B said: Rafiki ana faida kubwa! Ni bora kuongeza rafiki kuliko adui, sina nia mbaya na ningekuwa na nia mbaya nisingetangaza wazi. Click to expand... so ni urafiki tu basi
Tutor B said: Rafiki ana faida kubwa! Ni bora kuongeza rafiki kuliko adui, sina nia mbaya na ningekuwa na nia mbaya nisingetangaza wazi. Click to expand... so ni urafiki tu basi