Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

ISMAILI

Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
7
Reaction score
0
Miaka yangu ni kati ya 20-27 natafuta rafiki msichanana kati ya miaka 18-20 awe anasoma.tuwasiliane 0717403425
 
Duh!! Unamiaka kati ya 20-27?!?!

umepoteza kumbukumbu nini?
 
Miaka yangu ni kati ya 20-27 natafuta rafiki msichanana kati ya miaka 18-20 awe anasoma.tuwasiliane 0717403425
dah hivi ni kweli ninacho kisoma hapa? nahisi huelewi unacho taka! unataka mchumba au mke? au mwana funzi? jamani nahisi ukurasa huu umevamiwa na wasiojuwa maana halisi ya ukurasa huu. waachieni wahusika naningependa ukurasa huu uheshimike na ubakie na hazi yake.
 
Back
Top Bottom