Natafuta rafiki wa kike

mwathu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
403
Reaction score
210
Mimi ni kijana wa kiume natafuta rafiki wa kike (sio mapenzi) kwa ajili ya kushauriana na Kushare mambo mbali mbali ya kimaisha. Ni vyema rafiki huyo akawa na umri kati ya miaka 18-25 na elimu ya Chuo, mchamungu na kama ameajiriwa ni vizuri zaidi.

Kwa alie tayari ani PM nitampa namna nzuri zaidi ya mawasiliano.

karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…