Natafuta rafiki wa kiume company tu

Sifa za umtakae ushazitaja,
Zako je?
Binafsi nina miaka 31 so najitoa!!!
 
Humu sikuwezi nalikuwa napita tu qa bahati mbaya baada ya kupotea njia. Eneo hili full mizaha,full kufikirika hakuna uhalisia. Jamani nionesheni njia ya kutokea qani nalipotea.

Bazazi ni Bazazi
 
Kwan lazima nitake usafr wako km cna gari. Naweza kuwa cna gari ila nna ela tax. We wataka bwana tu
 
nani anasema wanawake hawajui aina ya mwanaume anayemtaka

hata kutongoza hawajambo siku hizi
 
akuhudumie yy afu afaidi mwingine hii kairudie kuedit au umecopy na kupesti
 
Watu wazima tumeshaelewa nini hasa unachokitaka!!Hebu weka kidogo basi sifa zako japo kwa ufupi tuthaminishe mzigo!!
 
Uko sahahi mwanajeshi, hapo umenena

 
Its possible mume/mchumba wako yuko mbali mfano nje ya nchi kimasomo au kikazi. Hii inakufanya uwe mpweke na hutaki kuvunja kiapo. Sasa basi, kumbuka huyo wa ukweli akijua hapatakalika. Chagua moja kunyoa au kusuka.
 
kama anavigezo hivyo hapo lazima afungue kitabu asome na si kukitazama tu.all the best
 
kabla sijaku-PM (maana nina sifa karibu zote ulizoainisha) naomba ufafanuzi hapo kwenye highlight
 
sihitaji kuhudumiwa kwa chochote. tukitoka we share costs.

akuhudumie yy afu afaidi mwingine hii kairudie kuedit au umecopy na kupesti
 
kama ana uwezo wa bajaj kama si taxi poa. most important tusisumbuane kupeana lift kila wakati.

Kwan lazima nitake usafr wako km cna gari. Naweza kuwa cna gari ila nna ela tax. We wataka bwana tu
 
Kusadiana ni aina nyingi, hata kwa mawazo ni msaada wa kutosha. umekwama au nimekwama financially, being good friends, kwanini tusisaidiane.

kabla sijaku-PM (maana nina sifa karibu zote ulizoainisha) naomba ufafanuzi hapo kwenye highlight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…