Natafuta rafiki wa kiume company tu

Urafiki huu ni wa kufikirika.Ila nakutakia kila la heri.
 

dada una NGOMA nini? Usije ukatuua buuuure.
 
hizo ni fikra zako, hazina ukweli.
Kama hazina ukweli, kwa nini usitoke na huyo uliyefanya naye commitment? Au ulisha mlisha limbwata (a.k.a shuntama) hawezi toka?
 
duh hapa ni kutafuta lawama maana mwisho wa siku itakuwa zaidi ya urafiki
 
da it soundz lyk kashuga dady hivi ndo kanahitajika hapo
 
kwa hivyo vigezo labda sharobaro.Ruhusu jig-jig hata saa nane za usiku nitakusindikiza na hakuna wa kuniuliza.
 
Hivi maskini,wasio na gud looking na makabwela watakua na urafiki na nani?Aaaaqqghrrhh!
 

Kwa hiyo hata kama nimeoa na wewe unataka nikusindikize sehem niwe tayari kuacha familia yangu nitoke na wewe,dada unatazama sana muvi,badili hobby,soma vitabu,angalau kupunguza upweke wako.
 
Sal,Umejitahidi kuREmba-REmba tumaneno twako lakini kuna sehemu umeshindwa na sisi hapo hapo tukajua nini nia yako haswaa kwa rafiki huyo wa kiume unaye msaka jamvini. Any way,ndoana ikinasa tujuze..,samaki wakitorosha chambo bila kunaswa tujuze pia.
 
we dada unahitaji msaada wa kipsychology kabisa! na kushauri upate usingizi wa kutosha na kucha kuangalia movie za watu walio umizwa mioyo! u shuld consult doctor! Amani kwako!
 
Hivi maskini,wasio na gud looking na makabwela watakua na urafiki na nani?Aaaaqqghrrhh!

money first brother.. trust me leave girls alone, find money and you will be happy!! get to be with them. i mean any one u want
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…