Natafuta rafiki wa kiume company tu

Ningefurahi kama nafasi hiyo ningeipata mimi. Sifa zangu:
  1. Mimi ni mmachinga, bia kulipa mwisho 3
  2. Nina mchumba na mtoto mmoja
  3. Umri wangu ni zaidi ya miaka 35
  4. Kutokana na kazi zangu nimejazia kimazoezi
  5. Ninatumia pikipiki motokari sina.
Je naweza kufikiriwa au sisi maskini hatuna haki ya kuwa na marafiki warembo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…