Utapata lakini, yaonekana kaukabila unako.
hivi ww ni wakarine ya ngapi yaani rafiki tu ndio unakua na udini na ukabira? Au mme?mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi
Sasa financial stable ina uhusiano gani na urafiki?
shangaaaaahivi ww ni wakarine ya ngapi yaani rafiki tu ndio unakua na udini na ukabira? Au mme?
halafu watakwambia pesa sio muhimu kwenye mapenzi lol
sio tunaumbuana wewe bibi badilikabasi tu tusisumbuane tuinjoy fresh
hivi ww ni wakarine ya ngapi yaani rafiki tu ndio unakua na udini na ukabira? Au mme?mimi ni mdada nina miaka 29 ninatafuta rafiki wa kiume mwenye sifa zifuatazo.1 miaka 33-372 mkristo3 awe financial stable4 mpole kiasi asiwe anachonga sana5 asiwe muhaya6awe na roho nzuri huruma upendo uvumilivumimi ninafanya kazi dar so akiwa wa dar itakuwa poa zaidi