Hongera dada kuwa muwazi, mie nipo tayarikuwa rafiki yako wakushauriana. Mimi mtu wa arusha i hope na meet vigezo vyako kubagua wahaya sikjui kwanini, jibu unalo mwenyewe. Sas tuwasiliane vipi mimi nipo dar, mtumishi wa umma umri wangu miaka 30 bado single.