Natafuta rafiki wa kiume

Urafiki huwa hautafutwi kama kitu kilichopotea, huja automatically kutoka ni certain circumstances e.g shuleni, udogoni, michezoni, safarini etc.
Ukitaka urafiki wa kuomba huo utakua sio urafiki bali una personal interest za kumhitaji huyo rafiki.
Anyway nisiongee mengi niko sakina ( Arusha) ni pm.
 
Interesting choice ,thought you were more a Scotch on the rocks kind of girl!! [emoji122]
 
Utapeli upo ktk kipengele gan ktk nyuz hiz mbili au unakulupuka tuh ku-coment endelea kunifatilia
Inaonyesha dhahiri tabia ya mtaani kwako changamoto kwa majibu haya ndo maana umekuja huku

Haya mi mvumilivu wa tabia kama izi nitakuja pm najua utanikataa kwa sababu nimetangulia kukuponda kuwa we mchunaji naomba unipokee
 
COME THROUGH 0672781355
 
uzoefu unanionyesha mara nyingi tunaishia kuharibu tu na ujinga wake mapenzi yanakatikia wakati mwingine kakolea huwa haina mwisho mzuri sana.
 
Vipi hutaki ADUI wa kiume ?
 
kwenye umri tuna tengana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…