Binti Mzalendo
Member
- Aug 3, 2022
- 27
- 18
- Thread starter
-
- #21
Tayari ni dodo chini ya muharobaini π€£π€£π€£ vyote Sina π’πTupe sifa zako kwanza.
Una kiuno nyigu?
Una msambwanda?
Guu la bia?
Ziwa konzi yaani Lile saa sita?
Macho ya goroli? na meupe
Sura ya mviringo?
Nywele za Masai?
Una shahada ngapi?
Una kazi?
Una gari [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]?
Una Nyumba?
Una mtoto?
Dini yako?
Jibu hayo Wana wajimwaye mwaye, isije ikawa mtu anaokotwa dodo chini ya mpapai
SitakiKaribu
π€£π€£π€£π€£π€£Sijalala nipe muda nifikirie ombi lako
Acha kwani nilikuita π€£π€£π€£Sitaki
Umepata Nipo apNina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Yaan Ukoo wenu mzima?Sijabahatika kuwa na kaka [emoji22]
Afya imegawanyika, fafanua.Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Sijasomea afya tuNina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.
Mwenye sifa Ani PM
Unaishi wapi?Tayari ni dodo chini ya muharobaini π€£π€£π€£ vyote Sina π’π