Kweli wengine wanajielewa na umri huo lkn ndio pendekezo lakeusiite watu wana miaka 29 watoto,wengine wana kila kitu kuzidi hao wenye umri unaouhitaji.
then kwa kukejeli huku usitegemee mtu serious kuj kwako;
nina 30;
Binafsi nina 39 nimekidhi vigezo yote kabisa,nawe nimeona sifa zako ila hujasema kalio la kutosha lipo au ndio kama dereva wa mwendo kasi,maana isijeMimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.[emoji116]
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKA[emoji116].
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri kuanzia miaka 38-55
(6)Awe anajitegemea.
Kama unavigezo ivyo njoo PM na Kama haupo serious usije.
Watoto kuanzia miaka 35,34,33,30,29...kushuka chini jaman siwahitaji, narudia Tena siwahitaji.
Tumechafukwa rohoπComment Sasaππ
Ni kweli ila urafiki kwanza baadae kwenye mahusiano hawa watu wameshakufa siku hizi. Huwezi kuwa na rafiki halafu ukamtreat kama upo naye kwenye mahusiano. Ni ngumu naUtaanzaje kuwa na mahusiyano kabla hamjawa marafiki?unatakiwa umfahamu mtu ndio mengine yaendelee.Nunatakiwa uwanze na 0 ndio ufike 10 na kuendelea sawa.
MhhhπSifa zote hizo wewe unazo au unataka tu mwenzio ndo awe nazo. Elimu yenyewe umesema una ya kawaida, umeshindwa kuweka wazi. Hapo unataka sifa kibao za mwanaume. Nyie ndio mna zeeka bila kuolewa kwa kujifanya kuwa selective. Sifa ulizoorodhesha utazipata kwa mpenzi sio mume wa maisha. Jiangalie umri wako sio haba.
Inaonesha anawanyonyesha watoto wa miaka 35 ndo maana hawataki watoto haoUna miaka 27 ila unamuita wa miaka 35 mtoto! Hii tuliosoma Cuba tumeielewa
JamaniππSifa zote hizo wewe unazo au unataka tu mwenzio ndo awe nazo. Elimu yenyewe umesema una ya kawaida, umeshindwa kuweka wazi. Hapo unataka sifa kibao za mwanaume. Nyie ndio mna zeeka bila kuolewa kwa kujifanya kuwa selective. Sifa ulizoorodhesha utazipata kwa mpenzi sio mume wa maisha. Jiangalie umri wako sio haba.
Sio povu, mimi namsikitikia maana anachagua nazi wakati yeye mwenyewe keshakuwa korona.mbona povu mkuu sifa gani huna hapoπ π π
Umesema unataka urafiki lakini hao wazee utaongea nao nini kwenye hayo mazungumzo yenu ya urafiki!???[emoji28][emoji28][emoji28]Sema ivi we ndio umeshtuka,mbona wengine wamejifanya kuponda hapa hafu wamekuja pm.Ila sinaga huruma na wanafki nimewapa za uso.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daaah kazi kweli kweliKataa ndoa
ndoa ni wizi
kataa kuchunwa
tafuta pesa kula Bata usimsaidie Mwanamke labda Mama yako tu nenda kaa mbali Fanya kazi kula Bata usimsaidie mtu
Daah kazi ipo[emoji28][emoji28][emoji28]
Bujibuji Simba NyamaumeMimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.π
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKAπ.
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri kuanzia miaka 38-55
(6)Awe anajitegemea.
Kama unavigezo ivyo njoo PM na Kama haupo serious usije.
Watoto kuanzia miaka 35,34,33,30,29...kushuka chini jaman siwahitaji, narudia Tena siwahitaji.
Hahahahaa my ribs πππMnakujaga hv alaf tukiwafata PM mnarudi kutufungulia Uzi tena wa kutunanga
Lovie lady nakuomba uwe rafiki yangu [emoji4][emoji4][emoji4]Hahahahaa my ribs [emoji23][emoji23][emoji23]
Thamani ya mwanamke imehamia kwenye kalio...Binafsi nina 39 nimekidhi vigezo yote kabisa,nawe nimeona sifa zako ila hujasema kalio la kutosha lipo au ndio kama dereva wa mwendo kasi,maana isije
Nikaja ile kukuona ukaanza kusema wanaume wote Umbwa.