Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Kijana una hiyo biashara??mbona bei ndogo sana mdau
we ni Ke au Me?Habari!
Kama kuna mtu yeyote anauza rice cooker used kwa bei rafiki ya awamu ya sita, naomba anitafute.
Bei elekezi ya mwaka wa fedha ni 30000/=
Pesa ipo kwenye mfuko wa Shati hapa...
Chap kwa haraka unapata pesa
Location kigamboni Dar es salaam
0784312904
Inahusiana nini 😂we ni Ke au Me?
We ni Ke au Me???we ni Ke au Me?
Umeongea ukweli kidogo.Kuwa serious kidgo unataka rice cooker kwa 30k mkuu kwanza used utapata kitu kibovu ... jiongeze nikupe hii [emoji116][emoji116]... View attachment 2236027
Ujazo kg 2+Umeongea ukweli kidogo.
Bei Gani hii???
Mpya??Kuwa serious kidgo unataka rice cooker kwa 30k mkuu kwanza used utapata kitu kibovu ... jiongeze nikupe hii [emoji116][emoji116]... View attachment 2236027
Nataka used Mkuu!Ujazo kg 2+
Kampuni ya zuhne
Ni outomatic
Free home delivery
Una toa sield mwwnyewe
Una testiwa
Una elekezwa matumizi sahihi
Ukisha ridhika ndipo utafanya malipo
bei 120,000
0742612561
Location
K/koo jengo la simba sport club hapa
Tupo wazi 24/7 kwanzia saa 8:00 asubuhi
Karibu sana
Unataka kg ngapi ndugu ...pia kwenye comment yangu nimeweka maelezo zaidiMpya??
Unauzaje?
Sema budget yako ipo chini ndugu yangu ....Nataka used Mkuu!
120000/= gunia mbili za mpunga msimu huu wa mavuno.
Sikia kama ipo ya 35k nisaidie.
Mmh!!Ukinunua bidhaa yeyote kwetu unapewa hii bure kabisa View attachment 2236082
Hiyo BEI uliyoitaja ni ya pressure cooker na siyo Rice cook, Rice cooker mpya haiwez kuzidi elfu 55 Kwa mpyaUjazo kg 2+
Kampuni ya zuhne
Ni outomatic
Free home delivery
Una toa sield mwwnyewe
Una testiwa
Una elekezwa matumizi sahihi
Ukisha ridhika ndipo utafanya malipo
bei 120,000
0742612561
Location
K/koo jengo la simba sport club hapa
Tupo wazi 24/7 kwanzia saa 8:00 asubuhi
Karibu sana
Kweli kabisa!!!Hiyo BEI uliyoitaja ni ya pressure cooker na siyo Rice cook, Rice cooker mpya haiwez kuzidi elfu 55 Kwa mpya
Zipo mpaka za 50k au 35k kama alivyo sema mtoa uzi .... hatuwezi wote kufananaHiyo BEI uliyoitaja ni ya pressure cooker na siyo Rice cook, Rice cooker mpya haiwez kuzidi elfu 55 Kwa mpya
Ungeweka ushahidi wa picha ungetusaidia sana sisi wengine ambao hatuamini kitu kama hichoHiyo BEI uliyoitaja ni ya pressure cooker na siyo Rice cook, Rice cooker mpya haiwez kuzidi elfu 55 Kwa mpya
Sasa dada angu wewe ni mfanyabiashara...!Zipo mpaka za 50k au 35k kama alivyo sema mtoa uzi .... hatuwezi wote kufanana