mimi ni mwanafunzi wa kiume wa UDSM mwaka wa tatu naomba kama kuna mwanafunzi anaweza kunibeba au kuniuzia room Mabibo Hostel anaweza kuni-pm. Ni kijana safi tu, mpole. Thanks in advance wakuu
mpaka umefika mwaka wa tatu unataka kubebwa kwani ulishindwa kujipanga hata second year ili uishi mtaani ili kule madogo uwaachie space pale bibo,ungekuwa mwanamke ningekusaidia
mpaka umefika mwaka wa tatu unataka kubebwa kwani ulishindwa kujipanga hata second year ili uishi mtaani ili kule madogo uwaachie space pale bibo,ungekuwa mwanamke ningekusaidia