Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
...............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehemu gani hapo?Nenda Ukonga Mombasa Kwa nukta yule jamaa ni shiida kwa mambo hayo.
Acha kukompliketi maishaMmeshavamia na huko!
Dunia imeumbiwa Wanamume bali wanawake wameivamia na kuivuruga!
Simple like that.Acha kukompliketi maisha
Hii sentensi yako mbona tata sana,Mmeshavamia na huko!
Dunia imeumbiwa Wanamume bali wanawake wameivamia na kuivuruga!
Mkuu, wanawake wamevamia na fuso au? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmeshavamia na huko!
Dunia imeumbiwa Wanamume bali wanawake wameivamia na kuivuruga!
We acha tu!Mkuu, wanawake wamevamia na fuso au? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Adamu akajibu akasema "si huyu mwanamke uliyeniletea"Hii sentensi yako mbona tata sana,
unaposema dunia imeumbiwa wanaume means what?? wanawake wamekuja kwa bahati mbaya au ulitamani wanawake waondoke ili muoane wenyewe au aje??
Khaaah!! akili nyingi huondoa maarifa.
Ahsante sana, nitaenda kupatafutaNjia panda ya segerea karibu na bank ya CRDB utaona salun imeandikwa Anko Rasta au ulizia yeyote pale atakuonesha ni mitaa hiyo hiyo.... wako vizuri sana, hutaijutia elfu 10 yako.
Binadamu mnakosa la kuongea???Adamu akajibu akasema "si huyu mwanamke uliyeniletea"
Dhambi ikaingilia kwa mwanamke na kumwambukiza mwanaume.
Nyakati fulani Mwanamke na ibilisi wana shirika moja.
Si bora mwanamke kuvaa chupi ya kiume kuliko mwanaume kuvaa chupi ya kike...We acha tu!
Mpaka chupi wanavaa za kiume!
Tabata shuka Muslim kwenye petrol station opposite yake kuna saluni ya marasta(Rastafarians tukutane hapa)
Naulizia saloon ya dreads mitaa ya ukonga, banana, tabata na mitaa ya karibu na hiyo, saloon wanayojua kutengeneza sio kujaza mafuta kichwani na kufinya finya nywele
Ahsanteni.
Adamu akajibu akasema "si huyu mwanamke uliyeniletea"
Dhambi ikaingilia kwa mwanamke na kumwambukiza mwanaume.
Nyakati fulani Mwanamke na ibilisi wana shirika moja.
Angalizo: kama weekends jitahidi uwahi asubuhi baada ya hapo kunakua na folen ya kufa mtu.Ahsante sana, nitaenda kupatafuta
Thanks ma dia nitaenda weekdayAngalizo: kama weekends jitahidi uwahi asubuhi baada ya hapo kunakua na folen ya kufa mtu.