kwenu wanadau,
Nahitaji kuhudhuria trainings na seminers zinazohusiana na mambo ya mikopo na nyingine zinazohusiana na hizokwa yeyote mwenye ufahamu ni wapi nitapata mafunzo au ni nani hua wanaendesha mafunzo hayo naomba anijulishe.Natanguliza shukrani zangu.