Natafuta Semina inayohusu Micro credit/microfinance

Twaps

Member
Joined
May 26, 2011
Posts
50
Reaction score
28
kwenu wanadau,
Nahitaji kuhudhuria trainings na seminers zinazohusiana na mambo ya mikopo na nyingine zinazohusiana na hizokwa yeyote mwenye ufahamu ni wapi nitapata mafunzo au ni nani hua wanaendesha mafunzo hayo naomba anijulishe.Natanguliza shukrani zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…