Natafuta serengeti boy

Status
Not open for further replies.
Mwanaume then unatafuta mwanaume wa kukuridhisha??

E Mungu okoa hiki kizazi
 
ndo mawazo yenu hapo lumumba.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mawazo yenu nyie ni ya kuwateka watu na kuwatesa ili kusababisha nchi isitawalike kama mlivyoahidi.
Safari hii mmeumbuka.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
SHIKAMOO!!...........upo sahihi lazima watu waheshimu mawazo yako ila pia kuuliza sio ujinga, unawataka hao watoto( ni watoto ulilinganisha na umri wako) kwani vibabu wenzio huwaoni?.

Nashauri wanaharakati wanaohusika na unyanyasaji wa kijinsia wamtafute huyu Bibi anayetaka kuwashurutisha wadogo zetu katika biashara ya ngono.
 
Daaah hapo umeua band! Yaaan firaun akishuka leo atakufungulia mashtaka ya kuua kwa kukusudia we2 mumeo si kafa kwa ukimwi
 
Hakika vijana kazi ipo, hii inanikumbusha ile issue ya Utalii wa ngono, gazeti la mwananchi ilipewa uzito mkubwa na humu jukwaani ilifika pia. Moja ya msemo ambao sitausahau ulikuwa unasema APEWE MPAKA APAGAWE hao ni kwa mjibu wa vijana wa wenye asili ya Tanzania-Zanzibar waliohojiwa na Mwananchi

Ushauri Dada francis Mkandala kwenye email iren kwa nini usijaribu kutafuta huko visiwani ambako vijana maalumu wapo kwa kazi hiyo na hata wanzungu wanatoka Ulaya kuwatafuta.

Na mwisho ila muhimu zaidi ikimbie zinaa
 
Irene/Lisa/fransis; kuna mabandiko mengi ya vijana wanaotafuta majimama. Si uwaPM hao ili mkatumzane na kutulizana.
 
Kuachwa ni shughuri pevu,mbaya zaidi kwa yule unayempendaa wewe unakonda mwenzio ananenepa,Kijana kubali matokeo tu kama umeachwa si sababu ya kuja kumchafua irene humu JF.
 
Shikamooo!kwahiyo huyo kijana ni kwa ajili ya kutumika kingono tu.Dah! Vijana wa leo wanazidi kuangamizwa na wakina mama wenye tamaa ya ngono.


Uhuru muhimu sana, huyo mama anahaki zote za kupewa raha na kama anapesa kwanini aisiridhishwe na vijana ? mbaka na muonea wivu yani jinsi atakavyo pata vijana wazuri uuwiii.
 

Koma we, kila mtu ana raha zake , hujui dogo dogo ndio zina kufanya usijikie kijana, kwanza hawana maswali mengi, mtu mzima mwenzangu ni shida tupu kwanza ataanza maswali nakujifanya haelewi nini unataka, hata mimi nasaka dogo dogo nijipumzishe, wana raha zake ,tuna ukimpata yule wa uswahilini ambaye mhuni ndio mzuri anakufanya chochote kukupagawisha ,,wa geti kali naye atakusumbua tuu.
 
Sasa bibie Mpole sana, unasemaje pale mwanaume FRANCIS MUKANDALA anapotafuta kiserengeti boy? Huoni hapa kuna dalili ya ushoga?
 
Last edited by a moderator:
Uhuru muhimu sana, huyo mama anahaki zote za kupewa raha na kama anapesa kwanini aisiridhishwe na vijana ? mbaka na muonea wivu yani jinsi atakavyo pata vijana wazuri uuwiii.
Tangu lini FRANCIS MUKANDALA akawa mama? Hebu msome vizuri hapo chini.

Hebu King'asti, Kaunga, Kongosho mkuje pande hii muone maajabu ya dunia. LONG LIVE Invisible (ofkoz na Paw kwa hisani ya King'asti) Jijanaume zima linafungua ID ya kike afu linatafuta kiserengeti boy. Mashoga bana khaaa!

CC: Zion Daughter, gfsonwin, FP snowhite kwa utekelezaji wa mipasho.

 
Oooh!Tanzania hatukubali masharti ya Cameron na sisi tuna heshimu mila na tamaduni zetu, kiko wapi sasa? Dume zima linaitwa Francis linatafuta kidume cha kulila kiboga, sasa mlikuwa mnajishaua nini? Eeeh Mungu okoa hiki kizazi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…